Waziri Jafo aweka mgomo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa, Tamisemi, Seleman Jafo, amegoma kuzindua mradi wa maji katika kijiji cha Itiso wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma kutokana na baadhi ya wananchi kuharibu kwa makusudi miundombinu hiyo

