"Dawa ya Muhuni ni kuwa Muhuni zaidi" - Ole-Sosopi

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema, BAVICHA, Patrick Ole- Sosopi amekiri kuwa Chama chake kimeamua kurudi kwenye uchaguzi mdogo haswa wa Kinondoni na Siha kwa kuwa wagundua dawa ya muhuni ni kuwa muhuni zaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS