Tanzania na Uganda zakubaliana

Tanzania kupitia kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo anayeshughulikia sekta ya Mifugo, Dkt. Mary  Mashingo na Uganda kupitia kwa Balozi wake nchini bwana Richard Tumusiime  Kabonero leo zimesaini makubaliano ya kuboresha sekta ya mifugo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS