Baada ya misimu minne Simba yarejea
Baada ya kutwaa ubingwa wa Kombe la shirikisho nchini msimu uliopita na kupata tiketi ya kuiwakilisha nchi, hatimaye klabu ya Simba leo inarejea rasmi kwenye michuano ya kimataifa kwa kucheza na Gendarmerie Tnale ya Djibouti.

