Tanzania na Uganda zakubaliana
Tanzania kupitia kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo anayeshughulikia sekta ya Mifugo, Dkt. Mary Mashingo na Uganda kupitia kwa Balozi wake nchini bwana Richard Tumusiime Kabonero leo zimesaini makubaliano ya kuboresha sekta ya mifugo.