Kiongozi wa serikali mbaroni kwa utapeli
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu sita akiwemo Afisa ardhi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela, Aloyce Nyabange na mchora ramani wa viwanja Dedatus Mbeti kwa tuhuma za utapeli wa kuuza viwanja feki na kughushi nyaraka,