Magufuli awajaza mabilioni uhamiaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameahidi kutoa pesa za kitanzania jumla ya Bilioni 10 Kwa Idara ya Uamiaji nchini ili kuboresha makao makuu ya idara hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS