Izzo B aweka wazi kutojutia hili

Mkali wa Rap ambaye kwa sasa anazidi kusumbua na ngoma ya Saa sita,  Izzo Bizness amedai kwamba hajutii kutokuwepo kwenye orodha ya wasanii wanaotrend kwa sababu anachojali ni muziki kuwafikia mashabiki zake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS