TANESCO wabanwa koo

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amewaagiza Mameneja wote wa Shirika la Umeme nchini, Tanesco, kuhakikisha wananchi wote ambao wamelipia gharama za kuunganishiwa umeme wanafanyiwa hivyo kabla ya mwaka huu haujamalizika .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS