TANESCO wabanwa koo Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amewaagiza Mameneja wote wa Shirika la Umeme nchini, Tanesco, kuhakikisha wananchi wote ambao wamelipia gharama za kuunganishiwa umeme wanafanyiwa hivyo kabla ya mwaka huu haujamalizika . Read more about TANESCO wabanwa koo