Mchezaji aliyeshonwa nyuzi 7 arejea uwanjani Klabu ya soka ya Lipuli FC imethibitisha kuwa mlinzi wake wa kimataifa Joseph Owino atakuwepo kwenye mchezo wa ligi kuu kesho dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa kwenye dimba la Kaitaba Bukoba. Read more about Mchezaji aliyeshonwa nyuzi 7 arejea uwanjani