Fid Q akiri kuzama kwa huyu mrembo Mkali wa HipHop Bongo Fid Q ameonekana kukamatika kimahaba kwa mrembo ambaye amemtambulisha nyumbani kwao Mwanza na ameiambia eNEWZ kuwa kwa sasa yupo kwenye mahusiano rasmi. Read more about Fid Q akiri kuzama kwa huyu mrembo