Rais Magufuli awachana wacheza utupu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amewataka watanzania kukemea vitendo vinavyodhihirisha mmomonyoko wa maadili, ikiwemo mabinti wanaocheza utupu kwenye video za muziki. Read more about Rais Magufuli awachana wacheza utupu