Miili yawasili nyumbani

Miili 14 ya askari wa JWTZ waliouawa nchini Kongo walikokuwa wakilinda amani, imewasili nyumbani nchini Tanzania Alasiri hii, na ndege ya jeshi la ya Umoja wa Mataifa, kwenye uwanja wa ndege wa jeshi jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS