Aliyekatwa masikio kwa kulawiti akamatwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga Simon Haule amethibitisha kuwa Jeshi la Polisi Mkoani kwake linamshikilia kijana Msigala Salum (24) kwa tuhuma za kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka mitatu. Read more about Aliyekatwa masikio kwa kulawiti akamatwa