Mkurugenzi atumbuliwa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Jafo amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi Bw. Julius Mseleche Kaondo, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za rushwa.