Ronaldo atoa kauli baada ya kutwaa tuzo

Nyota wa   Real Madrid na timu ya Taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo amesema anataka kumalizia soka lake ndani ya Madrid baada ya usiku wa kuamkia leo, kutwaa tuzo ya  mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2017 (Ballon d'Or) ambayo hutolewa na (FFF).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS