Magufuli afunguka kuhusu kuongeza miaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ameweka wazi kuwa hana mpango wowote wa kuongeza muda wa kukaa madarakani kutoka miaka 5-7 na pia hafurahishwi na mijadala hiyo. Read more about Magufuli afunguka kuhusu kuongeza miaka