Ahukumiwa miaka 3 kwa kumtusi DC 

Mahakama  ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, imemhukumu mkazi wa mtaa wa barabara ya Mbutu, Mohamed Ahmed (54) kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kutiwa hatiani kwa kumtishia na kumtolea lugha ya matusi Mkuu wa Wiilaya hiyo, John Mwaipopo. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS