Stars yaanza vibaya mbio za kuelekea Cameroon

Mbwana Samatta akipiga shuti pembeni ya Thapelo Mokhele (kulia)

Tanzania usiku wa jana ilianza vibaya mbio za kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 nchini Cameroon baada ya kukubali sare ya 1-1 dhidi ya Lesotho katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS