Samia awataka mawaziri wawili kufika Mara

Makamu wa Rais Samia Suluhu

Makamu wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu ametoa agizo kwa mawaziri wawili wa Ardhi , William Lukuvi na Waziri wa Afya,  Ummy Mwalimu kufika mkoani Mara haraka iwezekanavyo kutatua changamoto za sekta ya afya na migogoro ya ardhi ambayo ni kero kubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS