Siwezi kumkimbia Roma - Moni

Msanii anayewakilisha kanda ya kati, Moni Centrozone ametoa ya moyoni kamwe hawezi kumtenga msanii Roma kwa sababu alipata matatizo hivi karibuni kwani ni mtu aliyemshika mkono kwenye 'game' ya bongo fleva.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS