Joh Makini atoa somo hili kwa wasanii wenzake!

Joh Makini

Rapa kutoka Weusi anayetamba kwa sasa na 'hit' song ya 'Waya', Joh Makini amefunguka na kuwataka wasanii kujitengeneza 'brand' ili kuweza kupata heshima ya kusaini mikataba minono ya makampuni mbalimbali ili kujiongezea kipato kizuri kupitia sanaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS