Kamati ya Uchunguzi
Rais Magufuli katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati Maalum ya Pili itayofanya Uchunguzi wa Madini yaliyomo kwenye Mchanga kutoka kwenye migodi mbalimbali nchini, mara baada ya kuwaapisha Ikulu jijini Dar es salaam (Aprili 11, 2017)