Weusi ni ubunifu wangu - Nisher

Muongozaji wa video, Nisher

Muongozaji wa video za muziki wa bongo, Nisher amefunguka kufafanua kwa nini amekuwa akitumia rangi nyeusi katika kazi zake na kudai ni ubunifu wa kujitofautisha na watu wengine wengi wanaofanya kazi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS