Bomba la Mafuta
Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania, Prof Paramagamba Kabudi (kulia) na Waziri wa Nishati wa Uganda, Bi. Irene Muloni (kushoto) wakitia saini Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Uganda, tukio lililofanyika Jijini Kampala leo
