Watu 4 wafariki kwa kufukiwa na kifusi Geita

Moja kati ya machimbo ya dhahabu mkoni Geita

Watu wanne wamepoteza maisha na wengine watatu kujeruhiwa baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo ya Nyamalinde kijiji cha Sobola nje kidogo ya wilaya ya Geita, mkoani Geita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS