Watu 4 wafariki kwa kufukiwa na kifusi Geita Moja kati ya machimbo ya dhahabu mkoni Geita Watu wanne wamepoteza maisha na wengine watatu kujeruhiwa baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo ya Nyamalinde kijiji cha Sobola nje kidogo ya wilaya ya Geita, mkoani Geita. Read more about Watu 4 wafariki kwa kufukiwa na kifusi Geita