RC Shinyanga azuiwa kuingia mgodini

Zainab Tellack, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga

Msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Tellack, umezuiwa kuingia katika mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu alikokwenda kukagua iwapo uzalishaji unaendelea bila kuwepo kwa Maofisa wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini, TMAA.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS