Yanga yatoa neno tuzo ya Msuva na Niyonzima

Klabu ya Yanga SC imewapongeza wachezaji wake Saimoni Msuva na Haruna Niyonzima kwa kuondoka na tuzo katika hafla ya ugawaji tuzo za Ligi kuu Tanzania Bara katika msimu uliomalizika wa 2016/17.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS