Yanga yatoa neno tuzo ya Msuva na Niyonzima Klabu ya Yanga SC imewapongeza wachezaji wake Saimoni Msuva na Haruna Niyonzima kwa kuondoka na tuzo katika hafla ya ugawaji tuzo za Ligi kuu Tanzania Bara katika msimu uliomalizika wa 2016/17. Read more about Yanga yatoa neno tuzo ya Msuva na Niyonzima