Baadhi ya washindi wa tuzo mbalimbali waliokuwepo ukumbini wakiwa katika picha ya pamoja
Beki wa kushoto wa kutumainiwa wa klabu ya Simba, Mohamed Hussein Hussein 'Tshabalala' a.k.a Zimbwe Jr. amefanikiwa kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu uliomalizika wa 2016/17.