Audio: Simba na Yanga kuwania milion 60

Simba na Yanga walipokutana msimu huu

Timu za Simba na Yanga zinatarajia kuwania shilingi milioni 60 za michuano mipya SportPesa Super Cup inayotarajiwa kutimua vumbi kuanzia Juni 5 katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na kushirikisha jumla ya timu 8 kutoka Tanzania na Kenya

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS