Jinsi Tanzania inavyoibiwa madini

Rais Magufuli akipokea Taarifa ya uchunguzi wa mchanga wa madini mbalimbali uliotakiwa kusafirishwa nje ya nchi kutoka kwenye machimbo ya madini nchini kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo Profesa Abdulkarim Hamis Mruma Ikulu jijini Dar es Salaam.

Kamati iliyoundwa na Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa ajili ya kuchunguza mchanga wenye madini aliokuwa ameuzuia kusafirishwa nje ya nchi, hii leo imewasilisha taarifa ya uchunguzi ilioufanya ikiwa na mambo 8 pamoja na mapendekezo 9.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS