Tanzania kuongeza ulinzi wa amani Maziwa Makuu

Naibu Kamishna wa polisi na Mkuu wa operesheni maalum za polisi, Daniel Nyambabe

Serikali ya Tanzania imesema utaongeza juhudi za ulinzi wa amani hususani katika nchi za maziwa makuu ili kyukabiliana na changamoto zinazowakabili walinzi wa amani katika maeneo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS