Sserunkuma kujiunga na Simba leo

Mchezaji wa Kimataifa anayechezea Klabu ya Simba, Daniel Sserunkuma anatarajia kujiunga na kambi leo akitokea nchini Uganda ambapo aliomba ruhusa kwa ajili ya kwenda kumaliza matatizo ya kifamilia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS