Baba wa Yemi Alade kuzikwa mwezi Mei Msanii wa muziki wa nchini Nigeria Yemi Alade Msanii wa muziki Yemi Alade wa nchini Nigeria, ametangaza tarehe 7 mwezi Mei mwaka huu kuwa ndiyo siku ambayo marehemu baba yake, Kamishna Mstaafu J.A. Alade aliyefariki dunia tarehe 16 mwezi Januari atazikwa. Read more about Baba wa Yemi Alade kuzikwa mwezi Mei