Mbunge ataka wananchi kulinda miradi ya Maendeleo.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Bahi Omar Badwel wakati akijibu baadhi ya changamoto za wananchi.

Mbunge wa Bahi, Omari Baduwel amewaagiza wakazi wa kata ya Nondwa iliyopo Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma kuilinda na kuitunza miradi ya maji, barabara na mawasilino iliyopo katika kata hiyo ili iweze kudumu kwani imeigharimu serikali fedha nyingi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS