Changamoto zaendelea kuliandama zoezi la BVR

Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye foleni ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR.

DAFTARI la kudumu la mpiga kura katika halmashauri ya Makete nako limeghubiKwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ya printa kutofanyakazi vizuri katika siku ya kwanza na kuandikisha watu 2153 huku mtu mmoja vidole kushindwa kabisa kusoma na kurudishwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS