Elimu bado changamoto kwa mtoto wa kike EAC,
Maadhimisho ya siku ya mwanawake dunia yamefanyika jana ambapo inaelezwa kuwa licha ya mafanikioa makubwa yaliyofikiwa swala la elimu kwa mtoto wa kike katika jamii ya kifugaji bado ni tatizo kubwa linalokwamishwa kufikiwa kwa mafanikio.