Elimu bado changamoto kwa mtoto wa kike EAC,

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akipongezwa na Naibu Katibu Mkuu wa Jumuia ya Afrika Mashariki Jesca Eriyo.

Maadhimisho ya siku ya mwanawake dunia yamefanyika jana ambapo inaelezwa kuwa licha ya mafanikioa makubwa yaliyofikiwa swala la elimu kwa mtoto wa kike katika jamii ya kifugaji bado ni tatizo kubwa linalokwamishwa kufikiwa kwa mafanikio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS