Mvua kubwa yaua 35,Kahama Mkoani Shinyanga

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya.

Zaidi ya watu 35 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 55 wamejeruhiwa baada ya nyumba zao kuwaangukia na kuwafunika usiku wa kuamkia leo kutokana na mvua kubwa iliyonyesha wilayani Kahama, mkoani Shinyanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS