Eneo la ajali Morogoro lakaguliwa
Basi la abiria mali ya Kampuni ya Bill Mawio lilikuwa likiendeshwa na dereva aitwaye Swalehe Adamzi, likitokea Kituo cha Mabasi yaendayo mikoani Msamvu, Morogoro, kuelekea Mkoa wa Tanga, huku lori la mizigo aina ya Howo lenye tela, likitokea Dar es Salaam kuelekea mkoani Mbeya.

