Haaland yupo fiti kuwavaa Watakatifu Soton

Erling Haaland - Mshambulizi wa Manchester City

Mshambulizi wa Manchester City Erling Haaland yuko tayari kuwakabili  Southampton Jumamosi hii. Nyota huyo alikuwa nje ya uwanja tangu mwezi Machi baada ya kupata jeraha la kifundo cha mguu katika mechi ya Kombe la FA dhidi ya Bournemouth.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS