Cheed aanika madudu yote ya Konde Gang

Aliyewahi kuwa msanii wa label ya Konde Gang Cheed akitoa uelewa wake kuhusu mikataba ya baadhi ya labels za muziki Nchini Tanzania, Cheed ameeleza hayo alipokuwa akifanya mahojiano na Planet Bongo ya East Africa Radio

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS