Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA yaukwepa Ufisadi

Friday , 15th Dec , 2017

Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt. Vicent Mashinji amesema Ufisadi sio agenda pekee ambayo chama chake na upinzani wanashughulika nayo.

Mashinji ameyasema hayo kufuatia taarifa ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Siha kwa tiketi ya CHADEMA Godwin Aloyce Mollel kueleza kuwa amejiuzulu uanachama ndani ya CHADEMA pamoja na Ubunge ili kuunga mkono jitihada za Rais Magufuli katika kupambana na ufisadi.

“Ameongelea sana kwamba kuunga mkono hoja za Ufisadi, lakini si kweli kwamba agenda za upinzani ni Ufisadi peke yake tulikuwa na agenda mbalimbali mojawapo ikiwa ni jinsi gani taifa letu litapata viongozi”, amesema Mashinji kwenye mahojiano na kituo kimoja cha Televisheni.

Aidha Katibu huyo ameongeza kuwa upinzani unazidi kuimarika katika taifa hili na umeendelea kubeba agenda za wananchi katika kutoa mtazamo mbadala katika kuleta maendeleo.

Siku za hivi karibuni upinzani umeondokewa na wabunge wake kadhaa akiwemo aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Kinondoni Maulid Mtulia (CUF) pamoja na Godwin Aloyce Mollel ambaye alikuwa Mbunge wa Siha (CHADEMA). Mtulia tayari ameshajiunga na CCM wakati Godwin naye akiweka wazi nia yake ya kujiunga na CCM.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita