Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JK awahakikisha wananchi uchaguzi huru na amani

Friday , 23rd Oct , 2015

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewahikikishia watanzania kuwa uchaguzi utakuwa huru na wa amani na wasiwe na hofu huku akiwaonya wenye lengo la kufanya vurugu na kusema hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.

Rais Kikwete ametoa kauli hiyo katika wakati wa hitimisho la kampeni za Chama cha Mapinduzi visiwani Zanzibar eneo la Chakechake, Pemba katika uwanja wa bombani ya kale na kusema wananchi wajitokeze kwa wingi Oktoba 25 kupiga kura.

Aidha Rais Kikwete amewahakikishia usalama wananchi na kusema kuwa utalindwa na kuangaliwa kwa umakini kwa kuwa tayari jeshi la polisi limejipanga vya kutosha kuhakikisha uchaguzi unaisha kwa amani na utulivu.

Kwa upande wake mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi Visiwani humo Dkt. Ali Mohammed Shein amesisitiza kuwepo kwa uchaguzi wa amani visiwani humo na kuongeza kuwa yale yote aliyoahidi basi yatatekelezwa katika kipindi chake.

Naye mgombea mwenza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupita chama hicho Bi. Samia Suluhu amewataka vijana wasidanganyike na maneno ya wanasiasa ambayo yatawafanya kuvuruga amani.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini