Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Matumizi ya nguvu na ukwepaji sheria vyatawala DRC

Saturday , 22nd Oct , 2016

Polisi, vikosi vya jeshi na askari wa ulinzi wanadaiwa kutumia nguvu kupita kiasi ikiwemo silaha za hatari wakati wa maandamano mjini Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, mwezi uliopita ambapo watu 53 waliuawa, 143 kujeruhiwa

Polisi nchini DRC wakionekana wakilinda moja ya eneo ambalo hivi karibuni upinzani uliandaa maandamano.

Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa ripoti ya uchunguzi wa awali ya Umoja wa Mastaifa.

Uchunguzi huo uliofanywa kwa pamoja na ofisi ya haki za binadamu ya mpango wa Umoja wa Mataifa nchini DRC MONUSCO, imeorodhesha wahanga 422 wa ukiukwaji wa haki za binadamu ukijumuisha haki ya kuishi, uhuru na usalama wa watu, uhuru wa kukusanyika kwa amani na kujieleza.

Watu 48 kati ya 53 waliopoteza maisha waliuawa na vyomvo vya serikali ikiwemo polisi na 38 ambao miongoni mwao walipigwa risasi kichwani, kifuani na mgongoni.

Ravina Shamdasani ni msemaji wa ofisi ya haki za binadamu Geneva amesema ukwepaji wa sheria kufuatia ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu ikiwemo, kupiga risasi, kukatakata na ukamataji wa kiholela imekuwa ni janga kubwa nchini DRC kwa miongo mingi.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini