Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Miili miwili yaokolewa feri DSM, mingine yatafutwa

Saturday , 28th May , 2016

Miili ya watu wawili imeokolewa eneo la Feri jijini Dar es sallm, baada ya boti iliyokuwa ikivusha abiria kupata ajali na kuzama.

Akiongea na East Afrika Television Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji mkoa wa Ilala, Mboje Kanga, amesema tukio hilo lilitokea jana usiku, na mpaka sasa hawajapata idadi kamili ya watu waliokuwa kwenye boti hiyo, wala mmiliki wake bado hajajulikana.

“Mpaka sasa hatuna taarifa rasmi ila tukio lilitokea usiku, ila ni kwamba kulikuwa na boti inavusha watu feri, na idadi kamili ya waliokuwa kwenye boti hilo haijapatikana, na hata kilichotokea rasmi bado hatujajua, ila kuna maiti mbili zimepatikana mmoja anaitwa Shangali Ibrahim Bimbwa, na mwengine anaitwa Thomas Beatus Nyoni, na kuna watu watatu inasemekana wameokolewa ila hatujawapata, inaonekana walikimbia baada ya tukio”, alisema Kamanda Mboje.

Kamanda Mboje amesema huenda watu hao walikimbia baada ya kugundua ni kosa kuvusha watu kwa boti katika eneo hilo, na mpaka sasa shughuli za uchunguzi zinaendelea sambamba na kutafuta miili ya watu wengine,

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita