Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi yakamata vijana 14 leo

Monday , 18th Sep , 2017

Jeshi la Polisi nchini Uganda limewakamata vijana 14 wa kundi la 'Jobless Brotherhood' kwa tuhuma za kufanya maandamano kupinga marekebisho ya katiba kuhusu ukomo wa urais.

Tukio hilo limetokea leo mchana katika mji mkuu wa nchi hiyo Kampala, ambapo vijana waliokamatwa wamepelekwa katika kituo kikuu cha polisi, wamefanya maandamano hayo huku wakisambaza vipeperushi vyenye ujumbe wa kupinga kitendo hicho na kuita 'watu wabinafsi'.

Akizungumza na waandishi wa habari Mbunge wa nchini humo Muhhamad Nsereko ambaye ni miongoni mwa watu wanaopinga suala hilo, amesema vijana hao wamechukuliwa kwa ajili ya mahojiano hapo kesho, na wataendelea kufanya hivyo kwa manufaa ya taifa lao.

“Katiba haitabadilishwa, haturudi nyuma kwa hili licha ya kukamatwa, wanatutaka tuwe wazalendo na kuitetea nchi yetu, tusiogopeshwe , tuendelee na safari kuijenga nchi yetu”, amesema Nsereko.

Wabunge nchini Uganda wameanza kujadili mchakato wa kubadilisha katiba itakayomruhusu Rais Yoweri Museveni kubakia madarakani kwa muda mrefu zaidi, kitendo ambacho kimeonekana kupingwa vikali na baadhi ya wananchi

 

 

Source

NTV Uganda

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita