Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spika Ndugai alimwa barua sababu ya CAG

Tuesday , 9th Apr , 2019

Taasisi ya Change Tanzania imetuma maombi kwa Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai kuangalia upya maamuzi ya Kamati ya Maadili ya Bunge juu ya uamuzi wa kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali, Prof Assad uliofikiwa April 2 2019.

Kupitia barua yao maalum waliyoituma kwa Spika wa Bunge wa Tanzania Taasisi hiyo imesema imekusanya maoni ya wananchi waliofikia 15000 ambao wameonesha kutoridhidhishwa na maamuzi hayo ya Bunge.

"Tunaambatanisha sahihi pamoja na maoni ya wananchi takribani 15,000 waliotia sahihi wito kutoa azimio la kutofanya kazi na CAG, wito unaendelea kuungwa mkono siku hadi siku na tunaamini kuwa itazidi kuongezeka, kama tulivyoainisha katika wito wetu, sisi wananchi tunakuomba Mheshimiwa Spika na Kamati ya Maadili kurejea maamuzi yenu kuhusu azimio la kutofanya kazi na CAG".

"Hadhi na heshima ya Bunge inatokana na kazi yenu nzuri ya kuisimamia Serikali kwa niaba yetu, watanzania tungependa kuendelea kuona Bunge likidumisha mfumo huu wa uwajibikaji na utawala bora kama kawaida yake."

"Hivi sasa tunatumia mfumo maalum wa wito (petition) ikiwa ni njia nzuri ya kisheria na kistaarabu kuelekeza maoni, maombi na changamoto zao kwa viongozi" imemaliza taarifa hiyo na kusainiwa na Mbaraka Islam ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa taasisi hiyo. imemaliza taarifa hiyo

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi