Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Abdukiba amkingia kifua Alikiba

Friday , 15th Dec , 2017

Msanii Abdukiba kutoka ‘Label’ ya ‘Kings Music’ amekanusha maneno ya watu kuwa bosi wa ‘Label’ hiyo Alikiba ambaye pia ni kaka yake alikuwa akimzuia kwenye muziki. 

Abdukiba amefunguka hayo leo wakati akifanya mahojiano na eNEWZ ya East Africa Television ambapo amesema kuwa Alikiba alikuwa akimtengenezea njia nzuri ya kuja kufanya mziki mzuri na ni mtu ambaye anatakiwa kusikilizwa kwenye game.

Mkali huyo ameongeza kuwa Alikiba alimuambia apumzike kidogo asiachia nyimbo ili akirudi aachie nyimbo nzuri na mashabiki wake watampokea kwa mikono miwili lakini pia watakuwa wamemmisi katika game, hivyo hata kama kutakuwa na changamoto yeyote katika mziki wake itakuwa rahisi kupata maoni.

Abdukiba ambaye anatamba na ngoma yake mpya ‘Single’ aliyomshirikisha Alikiba amesema pamoja na kukaa kimya kwa mda mrefu kwa ushauri wa Alikiba lakini pia kuna mambo yanayohusiana na sanaa yake ambayo alikuwa anayaweka sawa ili mradi kujipanga kwani mziki wa sasa hivi umebadilika na una ushindani mkubwa.
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini