Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba na Yvonne Chakachaka waomba msaada

Thursday , 6th Dec , 2018

Mkali wa muziki wa Bongofleva Alikiba amesisitiza uwepo wa tamasha lake la kufunga mwaka ambalo atashirikiana na msanii kutoka Afrika Kusini Yvonne Chakachaka huku akiwaomba amshabiki kumpangia ngoma za kuimba siku hiyo.

Yvonne Chakachaka na Alikiba

Alikiba ambaye ameshaweka wazi kuwa atafunga mwaka kwa kuwa na tamasha la 'Funga Mwaka na KingKiba', leo amethibitisha kuwa amekutana na Yvonne Chakachaka kwaajili ya maandalizi ya awali ya tamasha hilo.

''Show ya kwanza nipo hapa na Mama Yvonne Chakachaka, tunafanya 'set list'. Ungependa tuimbe nyimbo gani siku hiyo ya tarehe 22 December'', ? amewauliza mashabiki wake kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Novemba 29, 2018 ambayo ni siku yake ya kuzaliwa, msani huyo aliitumia kutangaza ujio wa matamasha mawili ya kufunga mwaka ambayo yote yatafanyika jijini Dar es salaam Desemba 22 na 29.
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini