Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Musukuma aibeba bongo movie

Saturday , 20th Apr , 2019

Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma, ameitaka wizara ya inayoshughulika na masuala ya sanaa kuangalia namna ya kuokoa sanaa ya filamu bongo (bongo movie), kwani imekuwa ikianguka siku hadi siku, huku wasanii wake wakiishi maisha magumu.

Musukuma ametoa rai hiyo Bungeni, ambapo amesema kwamba imefikia hatua wasanii wa bongo movie wanategemea rambirambi ili kuishi, kufungua madanguro na kuwa makuwadi, na kumtaka Waziri wa Habari, Sanaa na michezo Harrison Mwakyembe kutafuta suluhu ya kuwasaidia.

Musukuma afunguka zaidi 

 

“Unakuta wasanii wetu wa bongo movie hawana kitu, sasa hivi wanategemea misiba wapate michango na kufungua madanguro na kuwa makuwadi kwa wanaume. Wako hoi bin taaban, kwa nini!? Tumeruhusu vitu vya kijinga ambavyo imetupa kabisa tasnia ya filamu. Hakuna Mtanzania anayeangalia bongo movie, Mheshimiwa waziri nusuru wasanii wanakufia mikononi mwako”, amesema Musukuma.

Pia Mbunge musukuma ameitaka wizara kulegeza masharti yaliyowekwa kwenyekusajili filamu za Tanzania na ukaguzi wake, ili kuinua sekta ya filamu ambayo hapo awali ilikuwa ikifanya vizuri.
“Ukiitoa filamu ya kibongo ina ukaguzi zaidi ya elfu moja, lakini zikija za kikorea haina ukaguzi, mmewaambia watanzania wavae madera wavae kanzu, lakini wa kikorea watu wamepiga min skirt, watu wataenda kuangalia za min skirt”, amesema Musukuma

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi