Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyoka weusi wakutwa ofisini kwa Rais

Saturday , 20th Apr , 2019

Nyoka wawili wamepatikana katika ofisi ya rais wa Liberia George Weah , hatua iliomshinikiza kuondoka katika ofisi yake na kufanya kazi nyumbani.

Taarifa kutoka kwa katibu wa masuala ya habari Smith Toby, zinasema kuwa nyoka hao ambao ni weusi walipatikana katika jengo la ofisi ya wizara ya maswala ya kigeni, na wafanyikazi wote kutakiwa kutoingia katika ofisi hiyo.

Jinsi nyoka walivyoonekana

 

''Wizara ya maswala ya kigeni ndio ilio na ofisi ya rais, hivyo basi ikalazimika kuandika barua ikiwasihi wafanyakazi kubaki nyumbani huku wakiendelea kuweka dawa,'' amesema Bwana Toby 

''Nyoka hao hawakuuliwa, kulikuwa na shimo mahali fulani ambalo walitumia kurudi''. Aliendelea kuelezea bwana Toby

Video iliochapishwa katika ukurasa wa kwanza wa gazeti la African News ilionyesha wafanyakazi wakijaribu kushambulia nyoka wakati walipoonekana katika eneo la kukaribisha wageni la jengo hilo.

Maafisa wa polisi na maafisa wa usalama wa rais walionekana wakiyalinda makao ya bwana Weah katika mji mkuu wa Monrovia, na kwamba Rais Weah anatarajiwa kurudi ofisini siku ya Jumatatu.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari