Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Balaa la majeruhi Yanga

Saturday , 12th Aug , 2017

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga Godfrey Mwashiuya ataukosa mchezo wa pili mfululizo katika mechi za kirafiki ikiwa leo Yanga itashuka dimbani dhidi ya Ruvu Shooting kwa ajili ya maandalizi ya msimu huu kufuatia jeraha linalomsumbua.

 

Mwashiuya kupitia katika ukurasa wake wa instagram amewaomba mashabiki wake na wadau wa soka kumuombea ili apone na kuweza kujiunga na kikosi chake kwenda kupambana ili kufanya vizuri katika msimu mpya wa ligi unaotarajiwa kuanza siku za hizi karibuni. 

"Naombeni maombi yenu jamani,  nasumbuliwa na mguu" - alisema kiungo huyo.

Aidha klabu ya Yanga itashuka dimbani dhidi ya Ruvu Shooting leo ikiwa ni mechi ya pili ya kirafiki katika uwanja wa Azam Complex, Chamanzi saa kumi Jioni. Yanga baada ya kumaliza mchezo wa leo kesho watakipiga tena na klabu ya Mlandege FC Zanzibar na baada ya hapo watakwenda visiwani Pemba kuweka kambi ya wiki nzima kujianda na mchezo wa ngao ya jamii utaokaofanyika Agosti 23 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita